Saturday, January 14, 2012

M.E Areas

Dear Mates;



Dr.Kinyondo ameniambia niwaeleze kwamba mtihani  wa semista utakua wa maswali ya mahasabu tu na utahusisha maeneo yafuatayo:



Capital Budgeting
Regression
Elasticity   
Time value money                         

                
Hakutakuwa na maswali ya kuelezea.



Na pia jamani,Mwalimu HANA tatizo na sisi kama ambavyo wengi wetu tunavyoongea,kutokuingia darasi kunatokana na ” academic responsibilities” nyingine alizonazo,hata hivyo ni topic moja tu iliyobaki nayo ni Capital budgeting amabayo ataifunsiha jumatano ijayo.



Ameniahidi kusahihisha zile assignments na term papers tulizofanya na kama course work haitopendeza  miongoni mwetu,atatupa assignment nyingine turudie ili kujazia hapo.



Kwa wale wote amabao bado hawajasubmit assignment zao ama term papers basi nivyema wakafanya hivyo na nawashauri mkienda muende na barua ya kuelezea  sababu za kutosha kwanini hamkupeleka hiyo kazi on time.



Na kwa yale ma group amabayo hayakufanya maswali waliyotakiwa kuyafanya,mjitahidi kufanya hayo maswali ama muende wote kwa mwalimu as a group kuongea nae kuhusu hyo kazi.


Naendelea kucheck na mwalimu ili atupatia maswali ya review japo anaelekea kuwa mtata.


MUHIMU

Mtihani ni mtihani,pamoja na kupewa areas hizo hapo juu na kunihakikishia kuwa atatoa mtihani hapo,tujitahidi pia  kupitia na areas nyinginezo tulizofundshwa .
 
Regards;

Anwar Uvilla
CR MBA2
0754 893458

Friday, January 6, 2012

ACC5111 GROUP ASSIGNMENT

MBA(CM) – 2011/12: ACC5111 GROUP ASSIGNMENT
[The assignment refers to MICROTECHNOLOGY INC. that you were given]
(1) Answer ALL questions briefly but comprehensively.
(2) You must hand in the assignment Monday January 17, 2012.
(3) Keep your work neat and brief. Detailed work can be attached as appendix
(4)Your answers must be typed on a maximum of two A4
(5)Do not bind your work. Just staple the pages.
(6)This assignment carries 50% of the course work

TEST YA MARKETING.

Dear Mates;

Test ya Marketing itakua tarehe 20 siku ya ijumaa muda wa kipindi.Kama hakutakua na darasa la ziada ili kupunguza msongamano,tutafanya test katika session mbili siku hiyo hiyo.Test itakua ya muda wa saa moja na swali moja tu,ambalo litatoka either kwenye Marketing Research or Marketing Mix iwapo tutacover kesho.Hivyo kipindi cha kesho KIPO!!

Regards;

Anwar Uvilla,
CR MBA2
0754 893458

FINANCE FOR MANAGERS' TEST

Dears Mates;

I would like to inform you that Finance For managers’ Test will be done on Thursday 12th January,2012,(Mapinduzi Day),time for doing it will be announced later!.This Test carries 50% of COURSE WORK, meaning another 50% comes from the given assignment  to be submitted on 17th January!

Regards;

Anwar Uvilla
CR MBA2
0754 893458

Tuesday, January 3, 2012

There will be no class tomorrow for ECO 5011

Hi Mates;
 
There will be no class tomorrow for ECO 5011 instead use the time to do the given assignment as the deadline for softcopy submission is on 5th and hardcopy 6th January 2012.I will be available on Friday at the class from 3pm to 4pm for collection, however, its wise if you submit it on Thursday when you come to lecture.

Use the email: gkinyondo@hotmail.com for sending your softcopy.

Regards;

CR MBA2
Anwar Uvilla
0754 893458

Today is a deadline for submitting Strategic Business Management Group Assignment.

Waheshimiwa;

Today is a deadline for submitting Strategic Business Management Group Assignment. I will be at our class, CR1, from 3pm to 4pm for collection. After that duration you will require to submit yourself to Profs’ office. Thanks!

Anwar Uvilla
CR MBA2
0754 893458